Team ya Home Team Football Academy wakiwa katika picha ya pamoja kwenye Academy yao iliyopo maeneo ya Tabata.
PICHA NA Mr. Verbs wa habarika24 blog
Team ya Home Team Football Academy wakiwa uwanjani katika mazoezi
Mazoezi ya team ya Home Team Football Academy wakiendelea na mazoezi
PICHA NA Mr. Verbs wa habarika24 blog
Team ya Home Team Football Academy wakiwa uwanjani katika mazoezi
Mazoezi ya team ya Home Team Football Academy wakiendelea na mazoezi
Home
Team Football Academy ni akademi iliyoanzishwa kwa ajili ya kukuza vipaji vya
mpira wa miguu kwa vijana na watoto wa rika mbali mbali kuanzia umri wa miaka
mitano ‘5’ hadi kumi na saba ‘17’ na umri wa miaka 18 hadi 21.
Pia kujenga timu
itakayo shiriki mashindano mbali mbali ndani na nje ya Tanzania pamoja na kutoa
wachezaji mahiri katika tasnia ya mpira wa miguu nchini.
Licha ya kuwa timu ya
mpira wa miguu pia inajumkumu la kujenga mahusiano bora katika jamii pamoja na
afya ya vijana kupitia mazoezi na michezo.
Timu
hii imeanzishwa mwaka 2009 hadi 2010 ilipovunjika na kisha baadae mnamo Octoba
2015 ilipoanzishwa upya chini ya waanzilishi wawili; kocha mkuu wa timu Said
Ally na Raisi wa timu Sadiki Mshana kwa lengo la kukuza vipaji vya mpira wa
miguu vya watoto na rika la makamu kwa kuzingatia sheria na katiba ya
(TFF-Tanzania Football Federation) shirikisho la mpira wa miguu Tanzania ya
vijana chini ya umri uliotajwa hapo juu pamoja na kanuni za Shirikisho la mpira
wa miguu wilaya ya Ilala, Dar es Salaam (IDFA-Ilala District Football
Association).
JINA: HOME TEAM
FOOTBALL ACADEMY
MAKAO MAKUU: TABATA KIMANGA
SIMU: +255(0) 658
032 838/717 536 318
ANUANI PEPE: hometeamfootballacademy@gmail.com
RAIS WA TIMU: SADIKI MSHANA
KOCHA MKUU: SAID ALLY
Lilikua naomba nafasi ya kujiungu
ReplyDeletePost a Comment